Wasanii kutoka Lebo ya Wasafi Classic, Harmonize na Raymond wameimba kwa pamoja huu wimbo unaitwa “Penzi”. Wimbo huu haujatoka rasmi.
Meneja ambaye anawasimamia wasanii hao, Ricardo Momo amesema wimbo huo umetoka bahati mbaya tu ulikuwa kwenye flash wakati wapo Mwanza kwenye show walisahau hiyo flash.
No comments:
Post a Comment