Saturday 19 March 2016

Zitto Kabwe ateta na waziri wa mambo ya ndani kuhusu Kutoweka kwa mwandishi wa DW.

Mh. Zitto Kabwe 


Kiongozi mkuu wa Chama cha wazalendo ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini mh Zitto Zuberi kabwe ameiambia wizara ya mambo ya ndani ieleze alipo mwandishi wa habari wa DW kiswahili.

Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika "Waziri wa mambo ya ndani aeleze Mwandishi Salma Said yupo wapi? Kashikiliwa Kituo gani cha Polosina kwa kosa gani?"

Kivuli cha Teet ya mh Zitto Kabwe.
Kadhalika kuna taarifa ambazo BongoHomeTz haijazithibitisha, Zikiwa na kichwa kinachosema "Baraza la habari nchini Tanzania MCT kwa kushirikiana na taasisi nyingine nne zimetoa siku mbili kuanzia leo kwa jeshi la polisi nchini kuhakikisha linafanya uchunguzi na kufanikiwa kumpata mwandishi wa habari Bi. Salma Said anayedaiwa kutekwa."


BOFYA KIUNGO HIKI KUISOMA.