Claudia Benezeth Lubao aka Chemical (Picha na maktaba) |
Hit maker wa ngoma ya ‘Sielewi’ Claudia Benezeth Lubao aka Chemical alianza ku rap tangu akiwa anasoma sekondari “Twiga Secondary School”, Kisha akahitimu degree yake ya ‘Fine and Performing Arts’.
Kwa sasa Chemical yupo chini ya label ya ‘Kazi Kwanza Records’ na ameshafanya kazi kadha ‘Sielewi’, ‘VIP’ na ‘Party’ kupitia mikono ya producer Maxmaizer.
BongoHomeTz imenasa sauti ya Chemical alipokuwa akizungumza na The Cruzz Friday Bang ya ArushaOne Fm (101.6MHZ)
Amezungumzia jinsi alivyoingia katika lebo ya Kazi kwanza records,Mipango yake ili aweze kudumu kwenye game ya Music na Colabo alizofaya Na wasanii wakubwa wa Hip Hop hapa Tz