Sunday 21 February 2016

Baada ya matokeo ya uchaguzi nchi Uganda kutangazwa hiki ndicho kilichomkuta Dkt. Kizza Besigye Leo




Dkt. Kizza Besigye, amekamatwa na polisi asubuhi hii nyumbani kwake Kasangati, hii imetokea baada ya Polisi wa kutosha kuizingira nyumba yake kufuatia taarifa za kuwepo maandamano kwenda Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (EC) kuwasilisha fomu za matokeo ya uchaguzi amabazo matokeo yake yanatofautiana na matokeo yaliyotangazwa na Tume hiyo.

NBS Television. Kupitia ukurasa wao wa facebook wameweka hujumbe huu hapa.


No comments: