Tuesday 23 February 2016

Banana Zoro Leo amefunguka siri kati yake na Msanii Maua Sama.Soma hapa full story


banana-zorro
Msanii mkongwe Tanzania Banana Zoro amefunguka na kusema kuwa anatamani sana kufanya kazi na mwanadada anayetamba na kibao chake cha Mahaba Niue,Maua Sama.
Banana amesema kuwa Maua ni msanii ambaye hatabiriki na anaweza kuimba aina tofauti tofauti za muziki na kukiri kuwa hajawai kumwambia mwenyewe sifa hizo kwa kuwa hajapata nafasi bado ya kukaa naye chini.
Maua ana fusion.Anaweza akaimba zouk vizuri,R&B,Sweet raggae,anabadilika badilika huwezi kumtabiri kwenye staili moja” alifunguka Mkongwe huyo na kusema yuko mbioni kufanya kazi na wasanii wa kimataifa japo hakutaka kuwataja.
Source: Radio 5

No comments: