Sunday 28 February 2016

Mh. Raisi Magufuli Tayari yupo Jijini Arusha

Mh Rais John Pombe Magufuli Akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari.
Tayari Mh. Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekwishafika Jijini Arusha Kuongoza Mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi zaJumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika jijini hapa.

Mh. Raisi aliwasili Katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro (K.I.A) majira ya asubuhi ya leo tar 28 Feb 2016.

Kadhalika Mbunge wa Arumeru Mashariki mh. (mb) Joshua Samwel Nassari ni miongoni mwa viongozi na wananchi waliojitokeza kumlaki mh. Rais.

No comments: