Mh Rais John Pombe Magufuli Akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari. |
Mh. Raisi aliwasili Katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro (K.I.A) majira ya asubuhi ya leo tar 28 Feb 2016.
Kadhalika Mbunge wa Arumeru Mashariki mh. (mb) Joshua Samwel Nassari ni miongoni mwa viongozi na wananchi waliojitokeza kumlaki mh. Rais.
No comments:
Post a Comment