Sunday 21 February 2016

Ne-Yo Anatarajia kupata mtoto wa kwanza pia kuna story nyingine kuhusu ujio wake hapa Tz

Muimbaji wa R&B, Ne-Yo amefunga ndoa na mchumba wake Crystal Renay.
ne-yo-1024
Harusi yao ilifungwa Jumamosi mbele ya wana familia na marafiki huko Rancho Palos Verdes, Los Angeles, Marekani.
“Tuna hamu ya kuanza maisha pamoja,” Ne-Yo aliliambia jarida la People. “Tunatarajia kuwa marafiki wa dhati.”
Wamefunga ndoa wakati ambapo wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.
Ne-Yo tayari ana watoto wawili, wa kike Madilyn Grace, 5, na wa kiume Mason Evan, 4 kutoka kwenye uhusiano wa zamani.
Muimbaji huyo anatarajiwa kutumbuiza jijini Mwanza, May 21

No comments: