Thursday 28 April 2016

Magufuli amsimamisha kazi kisa hachukui mshahara.


Rais Magufuli ametengua uteuzi wa
Mkurugenzi Mtendaji TIC, Bi Juliet Kaoruki ambapo pamoja na mambo mengine sababu ya Mh Rais. Kutengua uteuzi huo ni kutokana na kutochukua mshahara wa serikali.

Kadhalika Bi. Kairuki ameingia kwenye list ya watumishi kadhaa wa serikali waliosimamishwa kazi na kupewa ahadi ya kupangiwa kazi nyingine.

Kivuli cha taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo  April,28 2016


No comments: