Rais Magufuli ametengua uteuzi wa
Mkurugenzi Mtendaji TIC, Bi Juliet Kaoruki ambapo pamoja na mambo mengine sababu ya Mh Rais. Kutengua uteuzi huo ni kutokana na kutochukua mshahara wa serikali.
Kadhalika Bi. Kairuki ameingia kwenye list ya watumishi kadhaa wa serikali waliosimamishwa kazi na kupewa ahadi ya kupangiwa kazi nyingine.
Kivuli cha taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo April,28 2016
No comments:
Post a Comment