Tuesday 26 April 2016

Sugu Ndani ya tuhuma za wizi wa wimbo.


Msanii Mr blue kupita account yake ya Instagram amelalama akieleza mashambulizi yake kwa mbunge Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu au Mister II baada ya Sugu kuachia video ya wimbo unaokwenda kama "Freedom"

Mr Blue ameandika alifanya wimbo huo na Sugu ila ameshangazwa na kitendo cha Mbunge huyo kuondoa Verse yake na kuingiza mengine mwenyewe bila kumpatia Taarifa.


BongoHomeTz imejaribu kumtafuta Joseph Mbilinyi kwa Simu yake ya mkononi bila mafanikio.

2 comments:

Unknown said...

Sugu vepe tenaah???

Unknown said...

Sugu vepe tenaah???