Msanii Mr blue kupita account yake ya Instagram amelalama akieleza mashambulizi yake kwa mbunge Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu au Mister II baada ya Sugu kuachia video ya wimbo unaokwenda kama "Freedom"
Mr Blue ameandika alifanya wimbo huo na Sugu ila ameshangazwa na kitendo cha Mbunge huyo kuondoa Verse yake na kuingiza mengine mwenyewe bila kumpatia Taarifa.
2 comments:
Sugu vepe tenaah???
Sugu vepe tenaah???
Post a Comment