Wednesday 13 April 2016

Olamide ameweka wazi kumkubali msanii huyu.


Boss wa YBNL , Olamide, Hakika amekuwa akitambua na kukubali kazi nzuri inayofanywa na yeyote akisikia na kuona kipaji na sasa amemkubali mwimbaji Simi.

Simi’s Ni msanii Chipkizi nchini Nigeria ambae amekuwa amefanikiwa kumkuna Olamide kwa audio na video zake nzuri anazozitoa.

 “Simi is too talented!.” aliema Olamide, ambapo tayari msanii Sami tayari ameshajiunga na lebo ya Oscar Music Production ambayo inasimamiwa na
producer na mwandishi wa mashairi mwenye kipaji, Oscar Heman Ackah.

No comments: