Friday 8 April 2016

Meneja Wa Mr Flevour apata mtoto miezi mnne tu tangu kuoa.

Mr Flavour
Meneja wa Msanii kutoka Nigeria Mr. Flavour bwana Benjamin Omesite na mkewe Ifeyinwa jana walibahatika kupata mtoto.Benjamin Omesite na mkewe Ifeyinwa walipata mtoto wa kike. Ikumbukwe wawili hawa walioana Mwezi Januari mwaka huu.


No comments: