Friday 8 April 2016

X-Girlfriend wa Wizkid ameshare picha za Arusi Yake.

Sophie Rammal

Sophie Rammal  Ameshare baadhi ya Picha za ndoa yake. 

Sophie Rammal ambae ni mpenzi wa zamani wa msanii Wizkid kutoka Nigeria amepost picha hizo akiwa katika mapozi tofauti na Mume wake anaejulikana kama Wale Alakija. Ndoa yao ilifungwa mwezi Januari Huko Lagos. 

Sophie Rammal Amekuwa akitrend sana kutokana na kushirikiana mambo mengi ikiwemo katika ”Holla at your Boy Music” Sophie na Wizkid waliDate kwa kipindi kifupi tu na kuachana. 

Tazama Picha Zaidi, 





No comments: