Tuesday 26 April 2016

Mke Wa rais mstaafu wa Kenya afariki dunia Jumanne hii


FirstLady wa zamani wa Kenya Lucy Kibaki amefariki dunia Leo Jumanne.

Taarifa ya Rais Uhuru Kenyatta imedai kuwa Mrs Kibaki alifariki akitibiwa katika hospitali ya Bupa Cromwell ya London.

“Her excellency has been unwell for the last one month and has been receiving treatment here in Kenya and subsequently in the United Kingdom,” yamesema maelezo hayo.

Mrs Kibaki alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Nairobi mwezi uliopita baada ya kutafuta matibabu katika hospitali ya Gertrude ya Muthaiga.

Ameacha watoto wanne, Judy Wanjiku, Jimmy Kibaki, David Kagai na Tony Githinji.

No comments: