Thursday 7 April 2016

Tanzia: Aliekuwa mbunge Viti maalumu Afariki Dunia


Dada ya Tundulisu na aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Mhe. Christina Lissu Mughwai amefariki dunia muda mfupi uliopita
katika hospitali ya Aga Khan Dar.

Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa cancer tangu mwaka jana.

No comments: