Msanii wa Bongo Best Nasso anaetamba na nyimbo yake ya ya Rumba amefunguka mambo kadhaa kuhusu muziki wake ikiwemo sababu za nyimbo zake kutokufanya vizuri.
Best Nasso ameiambia BongoHome Tz kuwa moja ya sababu kutokufanya vizuri ni kutokana na kuziwahisha sana.
Kadhalika amezungumzia hatua yake ya kufanya video nje na ni msanii gani anatamani kufanya nae kolabo.
SIKILIZA FULL INTERVIEW HAPA