Sunday 20 March 2016

Ncha Kali amewaamulia wasanii, Asema kazi ndio mpango

Mtangazaji Reuben Ndege A.K.A Ncha Kali.
Mtangazaji Nguli nchini Tanzania ambae amewahi kufanya kazi zake katika vituo vya utangazaji vya Clouds Fm na baadae kuripotiwa kuamia E Fm Reuben Ndege (Ncha Kali) leo jumapili March 20,2016 ameitumia account yake ya Twitter kuongea na wasanii.

Ncha kali ametumia Tweets hizi Saba  zikiwa na kichwa kinachosomeka "Dear Wasanii" akiambatanisha na jumbe mbalimbali.