|
Mtangazaji Reuben Ndege A.K.A Ncha Kali.
|
Mtangazaji Nguli nchini Tanzania ambae amewahi kufanya kazi zake katika vituo vya utangazaji vya Clouds Fm na baadae kuripotiwa kuamia E Fm Reuben Ndege (Ncha Kali) leo jumapili March 20,2016 ameitumia account yake ya Twitter kuongea na wasanii.
Ncha kali ametumia Tweets hizi Saba zikiwa na kichwa kinachosomeka "
Dear Wasanii" akiambatanisha na jumbe mbalimbali.