Thursday 24 March 2016

Ukweli kuhusu Taarifa ya kucheleweshwa kwa Mishahara kisa uhakiki wa watumishi hewa


Kumekuwa na Taarifa zinazoeleza kucheleweshwa kwa mishahara kwa wafanyakazi mbalimbali kwa kisingizio cha utekelezaji wa Agizo la Mh. Rais John Pombe Magufuli alilolitoa alipokuwa akiapisha wakuu wapya wa mikoa ikulu mnamo March 15, mwaka huu.

Leo march 24 Ofisi ya Raisi manejimenti ya utumishi wa Umma imelitolea ufafanuzi suala hilo na hii hapa ni Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya Habari.