ZEC: Karatasi za uchaguzi wa marudio zitaingia Zanzibar Tar 17 Mwezi huu
Karatasi za kupigia kura kwa ajili ya 'Uchaguzi
Mkuu wa Marudio', Zanzibar, uliopangwa
kufanyika siku ya jumapili, tarehe 20 Machi
mwaka huu, sasa zitawasili visiwani Zanzibar siku
ya Alhamis, tarehe 17, Machi 2016.
Barua ya ZEC kwa vyombo vya habari. (Picha na Ally Mohamed-Zanzibar)