Monday 28 March 2016

Vanessa Mdee: Ninapovaa Nguo Fupi nina malengo haya


Muimbaji huyo ambaye ameachia video ya wimbo Niroge hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Friday Night Live cha EATV kuwa, anapenda
kuvaa nguo fupi ili kutangaza brand yake, na hatimaye impe dili la matangazo kwa wabunifu wa mavazi.

Ukweli ni huu, wasanii for a long time in the past, wasanii wa kitanzania hawajajua na kutambua brand yao” alisema Vanessa

Aliongeza,”Mi brand yangu mi nataka ndani ya miaka miwili napigiwa simu na Balmain, na Louis Vuitton, nataka designers wakubwa wa dunia wanitumie kutangaza bidhaa yao kwa sababu wanaamini nina brand yangu kubwa na zinaendana, so nina malengo , na if I’m gonna offend anybody I’m sorry.”

Chanzo: Bongo5

No comments: