Monday 28 March 2016

Familia ya Rapper huyu yafikisha watoto Saba.


Rapper T.I. hataki mchezo.. Yeye na mke wake,Tiny wamepata mtoto wao wa saba.

Mtoto huyo wa kike alizaliwa wiki iliyopita. Taarifa hiyo ilitolewa na mtoto wa dada yake na T.I., Kamaya Harris.

My little cousin is here. Last night I went to go see my auntie and she had the baby today,” alisema kwenye Snapchat.

Watoto wengine wa familia ya Rapper huyo ni Messiah, Domani, Deyjah,King, Major na Zonnique.

No comments: