Saturday 19 March 2016

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) baada ya kumalizika mechi za leo.



Siku ya Leo Jumamosi ya March 19, 2016 ligi kuu vodacom (VPL) ilikuwa na michezo mitatu ambapo  Coastal Union iliburuzana na Simba Sc, Stand United na Ndanda huku MajimajiFc ikicheza na Mbeya City.

Haya ndiyo matokeo baada ya mechi zote kumalizika
FT" Coastal Union 0 - 2 Simba SC
FT' Stand United 1 - 1 Ndanda FC
FT' Majimaji FC 3 - 1 Mbeya City

Baada ya matokeo ya mechi za leo huu ndio msimamo wa ligi.